Posts

Showing posts from August, 2020

AJIRA KATIKA KADA YA AFYA 2020

Tamisemi imeachia au kufungua mfumo wake wa ajira katika kada ya afya.  Kwa yoyote mwenye sifa za kua mhitim au vyeti katika kada ya afya ana ruhusiwa kutuma maombi yake.  Kupitia hizi link :        www.tamisemi.go.tz         ajira.tamisemi.go.tz 

JOTO LA UCHAGUZI : INA MAANA HIZI PAPER TUNAZO SOLVE KUMBE ZILISHASOVIWA AU?

INA MAANA HIZI PAPER TUNAZO SOVU KUMBE ZILISHASOVIWA AU ? Naandika Magoda Jr 📌 Sina maana mwalimu hana uwezo wa kusovu pepa hapana ila nauliza tu maana kuna maneno eti  inasemekana kuwa hizi pepa tunazosoviwa sasa zilishasoviwa muda sana na making'i skimu yake ipo kitambo tu . 📌  Nauliza nipate uhakika maana sisi tuliambiwa kuwa hizi pepa walimu wengine  walikuwa wanazikimbia kuziandalia making'i  skimu isipokuwa mwalimu huyu pekee ndio ameziandalia making'i skimu haraka haraka yani na sasa anazisovu ndio maana tulikuwa tunamsifia yeye tu . ✒ Hebu nisaidieni kuniambia kuwa zilishandaliwa making'i skimu  mapema wa sasa anazisovu tu au yeye ndio ameandaa making'i skimu na kuzisovu peke yake. Ila Yesu wa Nazareth aliulizwa na wasomi wabobezi wa kodi je ni halali kodi ilipwe kwa kaisari ? 💒Kwa umakini mkubwa sana na uweledi sababu ana taaluma ya ualimu ndani yake akawajibu kwa kutumia mbinu shirikishi na matumizi ya zana za ufundishaji  akachukua sarafu na k...